Click here to download Grant Application Form
Maulid ya Homu in Sauti za Busara Festival 2004. The festival for 2005 is partly funded by Mfuko wa Utamaduni Tanzania.

Grants 2006

MATOKEO YA MAOMBI YA MSAADA MWAKA 2006
Mfuko wa Utamaduni Tanzania unayo furaha kuwatangazia matokeo ya maombi ya ufadhili kwa mwaka huu 2006.

Katika KIKAO CHA 23 CHA BODI YA WADHAMINI ya Mfuko wa Utamaduni Tanzania kilichofanyika Morogoro tarehe 17 - 22 Januari 2006, wajumbe wameridhia na kupitisha jumla ya miradi 54 kati ya maombi 498 yaliyopokelewa ya kupata msaada wa Mfuko.

Maombi hayo ni ya AWAMU YA NANE (8th Round) ya misaada ya Mfuko na yalipokelewa katika Sekretarieti ya Mfuko kati ya Julai na Septembe mwaka 2005.

Mfuko mwaka huu umeidhinisha ufadhili unaofikia kiasi cha shilingi 380, 933,720 (milioni mia tatu themanini mia tisa thelathini na tatu elfu mia saba ishirini). Kiwango hiki kina upungufu kwa kiasi cha shilingi 35,872,987 ukilinganisha na mwaka jana ambapo miradi iliyoidhinishwa ilipata msaada uliofikia shilingi 416,806,707.

Kati ya hizo shilingi 320,933,720 ni kwa ajili ya miradi ya kawaida na shiling milioni 60 ni kwa ajili ya miradi ya mabadilishano ya kiutamaduni. Miradi hii ni ile yenye malengo ya kukuza ushirikiano na uhusiano wa kimataifa katika maendeleo ya utamaduni.

Takwimu Muhimu
Jumla ya Miradi Iliyoidhinishwa Mwaka 2006

Sn. Jimbo/Sekta ndogo
Idadi ya wafadhiliwa  mwaka 2006
Jumla ya msaada mwaka 2006 (Tshs.)
% ya
miradi
yote
1
Sanaa za Ufundi - SU
22 65,000,000.00 40.7
2
Urithi wa Utamaduni UU
5
42,244,720.00 9.3
3
Tasnia za Utamaduni TU
3 36,543,600.00 5.6
4 Fialamu, Vielelezo vya Kuonekana na Kusikika FVKK 9 71,000,000.00 16.7
5 Lugha na Fasihi LF 8

39,978,300.00 14.8
6 Sanaa za Maonesho - SM 7 66,167,000.00 13.0
  Jumla 54 320,933,720.00  

Misaada Kulingana na Makundi ya Walengwa katika Majimbo Mwaka 2006

Na.
KUNDI
SU
SM
UU TU FVKK LF Jumla
1.
Vikundi
8 4 1   3   16
2.
Chama
  1   1 1   3
3.
Mtu Binafsi
Me 2   2     5 9
Ke 7   1   1 2 11
4. Taasisi za kiserikali     1 1 1   3
5. NGO 3     1     4
6. Kampuni/biashara 1       3 1 5
7. Taasisi za mafunzo 1           1
8. Taasisi za Serikali za   2         2
  Mitaa              
  JUMLA 22 7 5 3 9 8 54

Miradi Ambayo Waendeshaji wake ni Wanawake Mwaka 2006

Na.
MFADHILIWA
MKOA
AINA YA MFADHILIWA
JIMBO
1.
Imelda Ishuza
Morogoro Mtu binafsi SU
2.
Kalla Simon Dar es Salaam Mtu binafsi SU
3.
Ususi Women Group   Kikundi SU
4. Nahavache Women Group Kilimanjaro Kikundi SU
5. Kiungi Women Development Group Ruvuma Kikundi SU
6. Kikundi cha Maendeleo ya Wanawake Kagera Kikundi SU
7. Eutropia Casmir Msoka Dar es Salaam Mtu binafsi SU
8. Maria Emmanuel Nnko Arusha Mtu binafsi SU
9. Stella Group Kilimanjaro Kikundi SU
10. Beatrice Joseph Shawa Dar es Salaam Mtu binafsi SU
11. Agnes Charles Coast Mtu binafsi SU
12. Januaria Richard Arusha Mtu binafsi SU
13. Farida Nyamachumbe Zanzibar Mtu binafsi SU
14. Sukuma Star Art Group Dar es Salaam Kikundi SM
15. Esteria Mwatagu Mandira Mara Mtu binafsi UU
16. Monica Lilian Cheche Tanga Mtu binafsi LF
17. Persis Julius Munuo Dar es Salaam Mtu binafsi LF
18. Chama cha Wanawake Wasanii wa Sanaa za Maonyesho Tanzania Dar es Salaam Kikundi SM
  JUMLA Kutoka mikoa 10 Vikundi: 7

Kutoka majimbo 4

Watu binafsi: 11

Mikoa Ilipo Miradi Itakayofadhiliwa Mwaka 2006

Na.
MKOA
Sanaa
za
Maonyesho
Filamu na Vielelezo
Tasnia
za
Utamaduni
Urithi
wa
Utamaduni
Lugha na Fasihi Sanaa za Ufundi Jumla ya miradi katika mikoa
1. Dar es Salaam 4 7 2 2 5 6 26
2.
Morogoro 1     1   1 3
3.
Tanga         1   1
4. Coast           2 2
5. Kilimanjaro       1   2 3
6. Arusha         1 4 5
7. Iringa              
8. Ruvuma           1 1
9. Mtwara           1 1
10. Lindi 1           1
11. Rukwa              
12. Mbeya 1           1
13. Dodoma         1   1
14. Singida           1 1
15. Shinyanga              
16. Kigoma              
17. Mwanza              
18. Kagera       1   3 4
19. Mara   1         1
20. Manyara           1 1
21. Tabora              
22. Zanzibar   1 1       2
  Jumla ya miradi katika Majimbo 7 9 3 5 8 22 54

MUHIMU

Semina ya Wafadhiliwa wa Mfuko imepangwa kufanyika katika Ukumbi wa CHUO KIKUU CHA KIISLAMU MOROGORO tarehe Machi 20 - 23 , 2006

Wafadhiliwa wote wanatakiwa kuhudhuria bila kukosa. Mahudhurio ya semina hii ni moja ya vigezo vinavyozingatiwa kabla ya kuanza kutoa fedha.

MIRADI AMBAYO WAENDESHAJI WAKE HAWATAHUDHURIA SEMINA HII ITAKUWA IMEFUTA NAFASI YA KUPATA RUZUKU MWAKA HUU.

WAFADHILIWA WATAKAOSHINDWA KUHUDHURIA SEMINA MISAADA YAO ITAFUTWA.

WAFADHILIWA WA JIMBO LA SANAA ZA UFUNDI NA UCHORAJI

N.
Jina la mfadhiliwa
Mradi
Sehemu anakotoka
Aina ya mfadhiliwa
1.
Bukoba Dissabled Assistance Project (BUDAP) Uzalishaji bidhaa za mikono Kagera NGO
2.
Mtaka cha Uvunguni Sharti Ainame Group Ushonaji Singida Kikundi
3.
Wonder Workshop Warsha ya taaluma ya uetengenezaji karatasi Dar es Salaam Kikundi
4. Social Economic Development and Environment Protection Ushonaji na utengenezaji batik Kagera Kikundi
5. Ususi Women Group Ususi wa bidhaa mbalimbali za nyumbani Pwani Kikundi
6. Lorenzo Academy Taxidermists Sanaa ya uchongaji wanyama na kuwafunika na ngozi halisi za wanyama hao Arusha Kikundi
7. Nahavache Women Group Mafunzo ya sanaa za mikono Kilimanjaro Kikundi
8. Kiungi Women Development Group Mafunzo ya utengenezaji na uuzaji bidhaa za sanaa za mikono Ruvuma Kikundi
9. Kikundi cha Maendeleo ya Wanawake (KMW) Mafunzo ya utaalamu wa utengenezaji wa batik Kagera Kikundi
10. Tuinuane Group Mafunzo ya sanaa ya ufinyanzi wa vyungu na bidhaa nyingine Dar es Salaam Kikundi
11. Eutropia Casmir Msoka Mafunzo ya utaalamu wa kutengeza bidhaa za sufi za nyumbai Dar es Salaam Mtu binafsi
12. Maria Emmanuel Nnko Utengenezaji wa mavazi ya kiasili ya makabila mbalimbali Arusha Mtu binafsi
13. Disabled Art Vocational Center (DVC) Mafunzo ya uchapishaji Dar es Salaam NGO
14. Stella Group Warsha ya utengenezaji wa bidhaa za sanaa za mikono kwa kutumia malighafi za asili Kilimanjaro Mtu binafsi
15. Mwita Salum Shona Utengenezaji wa majiko ya asili Mtwara Mtu binafsi
16. Beatrice Joseph Shawa Mafunzo ya sanaa za ufundi Dar es Salaam Mtu binafsi
17. Imelda Ishuza Mafunzo ya taaluma ya masoko kwa bidhaa za udongo/ufinyanzi Morogoro Mtu binafsi
18. Kall Simon Chanimbaga Utengenezaji wa mazulia na makapeti kwa mashine za mikono (handloom) Dar es Salaam Mtu binafsi
19. Mwalim Lameck Nanyaro Mafunzo ya zanaa za ufundi Manyara Mtu binafsi
20. Agnes Charles Mafunzo ya utengenezaji wa bidhaa za ufinyanzi Pwani Mtu binafsi
21. Januaria Richard Mafunzo ya utengenezaji vifaa vya sanaa Arusha Mtu binafsi
22. Motivation for Self Employment Strategies (MOSEST) Mafunzo ya sanaa ya utengenezaji bidhaa za shanga Arusha Kikundi

WAFADHILIWA WA JIMBO LA TASNIA ZA UTAMADUNI

Na.
Jina la mfadhiliwa
Mradi
Sehemu anakotoka
Aina ya mfadhiliwa
1.
Tanzania Theatre Centre (TZTC) Kuendesha warsha ya taaluma ya Utawala katika Sanaa ya Jukwaani kwa wanachama Sehemu aliko NGO
2.
Baraza la Sanaa la Taifa (BASATA) Kuendesha mafunzo kwa wasanii wa sanaa ya jukwaani Dar es Salaam Taasisi ya Kiserikali
3.
Copyright Society of Zanzibar (COSOZA) Kuelimisha jamii umuhimu wa sheria na taratibu zinazohusu Hakimiliki na mirabaha Zanzibar Taasisi ya Kiserikali

WAFADHILIWA WA JIMBO LA URITHI WA UTAMADUNI

Na.
Jina la mfadhiliwa
Mradi
Sehemu anakotoka
Aina ya mfadhiliwa
1.
National Museum of Tanzania Kuendesha warsha ya taaluma ya uandaaji na uratibu Mkipango Mkakati ya Muda wa Kati Dar es Salaam Taasisi ya Kiserikali
2.
Kingalu Urithi Wetu na Maendeleo (KIWAMO) Kuelimisha na kutangaza umma juu ya umuhimu na nafasi ya Chifu wa Waluguru (Kingalu) katika historia ya jamii ya Waluguru Morogoro Kikundi
3.
Profesa Fidelis T. Masao Kufanya utafiti wa akiolojia mkoani Mtwara Dar es Salaam Mtu binafsi
4. Esteria Mwatagu Mandira Kampeni ya kuondosha mila potofu ya tohara kwa wanawake Kata ya Hanyari, Wilaya ya Bunda, Mara Mara Mtu binafsi
5. Dk. Daniel K. Ndagala Utafiti na ukusanyaji vifaa vya makumbusho, uandaaji maonyesho ya makumbusho na kufungua kwa rasmi makumbusho kwa jamii Kagera Mtu binafsi

 

WAFADHILIWA WA JIMBO LA FILAMU NA VIELELEZO VYA KUONEKANA NA KUSIKIKA

Sn.
Jina la mfadhiliwa
Mradi
Sehemu anakotoka
Aina ya mfadhiliwa
1.
Farida Nyama Chumbe Kutengeneza sehemu 13 za Mchezo wa TV Zanzibar Mtu binafsi
2.
Tanzania Screen Writers Forum Utafiti na kukuza ujuzi wa taaluma ya uandishi na utengenezaji wa sinema na vipindi vya TV Dar es Salaam Kikundi
3.
Dhahabu Arts Group Kuhifadhi muziki wa asili katika video Dar es Salaam Kikundi
4. MG Graphics Kutengeneza filamu ya Kampeni Dhidi ya Unajisi/Udhalilishaji wa Wanawake na Watoto Dar es Salaam Kikundi
5. Tanzania Arts Promotion Kutengeneza filamu ya kampeni dhidi ya mila za kurithi wajane Mara NGO
6. Kassim Mtingwa (IAMCO) Mradi wa kozi fupi ya taaluma ya utengenezaji wa vipindi vya TV na filamu fupi Dar es Salaam Kikundi
7. Mawazo Art Gallery Cafe Utafiti wa picha kuhusu mambo mbalimbali ya Tanzania na kuyahifadhi kama kitabu Dar es Salaam Kikundi
8. Tanzania Usawa Arts Group Kutengeneza filamu kuhusu wanawake wa Mkoa wa Pwani Dar es Salaam Kikundi
9. Media One Productions Kutengeneza filamu na vikatuni tano za Kiswahili za kuelimisha na kuburudisha Dar es Salaam NGO

WAFADHILIWA WA JIMBO LA LUGHA NA FASIHI

Na.
Jina la mfadhiliwa
Mradi
Sehemu anakotoka
Aina ya mfadhiliwa
1.
Denis H. E. Mangwela Kuchapisha kitabu “Waandishi wa Vitabu Kanda ya Kati”. Dodoma Mtu binafsi
2.
Gervas Tata Mlola Kuandika na kuchapisha kitabu kuhusu mila na desturi za makabila 14 ya Kaskazini Mashariki mwa Tanzania Arusha Mtu binafsi
3.
Monica Lilian Cheche Kuandika na kufundisha mashairi Tanga Mtu binafsi
4. Brigedia Generali Mstaafu Francis Xavier Mbenna Kutafiti na kuandika mswada wa kitabu