MFUKO ZEZE AWARDS 2006

Kulingana na masuala ya Maendeleo Maendeleo ya programu ya Mfuko yanaibua masuala ya maendeleo yanayolingana na yale ya Dira ya Taifa ya 2025 ambayo ni pamoja na: kuwa na ubora wa maisha wa hali ya juu, utawala bora, uchumi wenye ushindani na mtazamo wa fikra wa Watanaznia walio na moyo wa kujitegemea na walioazimia kujiendeleza .

Elieshi Lema
Mwenyekiti (2000 - 2002)

» Bodi ya Wadhamini
» Sekretarieti
» Picha za Wiki ya Mfuko 2003
» Picha za Wiki ya Mfuko 2004
» Picha za Wiki ya Mfuko 2005
» Misaada 2006
 
 
Viunganisho :
 
» http://www.operautsmykking.no
» http://www.AfrikaSana.co.tz
» http://www.rikskonsertene.no
» http://www.nfi.no
» http://www.oca.no
» http://www.mic.no
» http://www.norskform.no
» http://www.dramatool.org
» http://www.samp.org
Zinajumuisha wasanii, Vyama na asasi zinazoshughulikia ngoma, drama, muziki na shughuli nyingine za sanaa za maonyesho. Maelezo zaidi
Unahusisha asasi za makumbusho, nyaraka na uhifadhi wa mambo ya kale. Hasa inahusu utambulisho, uhifadhi na ulinzi wa amali za utamaduni na za asili, majengo ya kihistoria na maeneo ya akiolojia. Maelezo zaidi
Hasa zinajumuisha wachapishaji wa vitabu, kampuni za utalii wa utamaduni, kampuni za biashara na wakala wa vitu vya utamaduni. Jimbo hili limepania kukuza na kuendeleza bidhaa na huduma zinazotokana na tasnia za utamaduni. Maelezo zaidi
Jimbo hili linaundwa na asasi za uchoraji na sanaa za ufundi, nyumba za sanaa na wasanii wanaojihusisha katika uchoraji, uchongaji na ufundi stadi. Maelezo zaidi
Hili linashughulika na lugha na uandishi na hasa linaundwa na asasi za waandishi, lugha na fasihi pamoja na waandishi wa vyombo vya habari. Maelezo zaidi
Hili linajumuisha mashirika ya habari, filamu na kampuni nyingi za habari, waigizaji, watengenezaji na waongozaji binafsi pamoja na asasi zinazoshughulika na uzalishaji, usambazaji na uonyeshaji filamu na vielelezo vya kusikika na kuona. Maelezo zaidi
   
 
     
© 2006 Mfuko wa Utamaduni Tanzania • Tanzania Culture Trust Fund